Thursday, November 13, 2008

Duce nacho chafungwa, Kwa kufunga vyuo nini hatima yake?

Maswali mengi wanajiuliza wanafunzi hawa wa DUCE mara baada ya kutimuliwa

Haya sasa nirudi home? Niende kwa mshkaji? au nikajibanze wapi sasa maana imeshakuwa soo!!

Hawa nao wapiga picha hawana dogo?? kila kitu wao wanachukua tu!!!


TV, na vitu vingine thamani yake haifikii nusu ya karo ya chuo mpaka ukagome??



0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP