Maswali mengi wanajiuliza wanafunzi hawa wa DUCE mara baada ya kutimuliwa
Haya sasa nirudi home? Niende kwa mshkaji? au nikajibanze wapi sasa maana imeshakuwa soo!!
Hawa nao wapiga picha hawana dogo?? kila kitu wao wanachukua tu!!!
TV, na vitu vingine thamani yake haifikii nusu ya karo ya chuo mpaka ukagome??
0 comments:
Post a Comment