Friday, November 14, 2008

JK atembelea MOI, apokea vifaa kibao vya upasuaji

JK akimsabahi mtoto mwenye umri wa miaka minne Catherine Paul aliyelazwa katika taasisi ya MOI katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kufanyiwa upasuaji wa moyo mapema wiki hii.Rais Kikwete alikwenda hospitalini hapo kupokea vifaa vya upasuaji mishipa na Ubongo vilivyo tolewa msaada na Kampuni ya Synthes Spine yenye makao yake makuu nchini Uswisi, kupitia hospitali ya Chuo Kikuu cha Weill Cornell kilichopo New York nchini Marekani.Vifaa hivyo vilikabidhiwa na Daktari Bingwa wa Uapsuaji Mishipa na Ubongo Dr.Roger Hartl.



Dr.Roger Hartl(kushoto) ambaye ni Daktari Bingwa wa upasuaji Mishipa na Ubongo kutoka Hospitali ya chuo Kikuu cha Weill Cornell nchini Marekani akikabidhi kwa JK baadhi ya vifaa vya upasuaji ubongo na Mishipa leo katika taasisi ya MOI iliyopo katika hospitali ya taifa Muhimbili.Kulia niMkurugenzi mtendaji wa MOI Profesa Lawrence Museru.Vifaa hivyo vimetolewa kama msaada na kampuni ya Synthes Spine yenye makao yake nchini Uswisi na kuletwa Muhumbili kupitia cho kikuu cha Weill Cornell kilichopo New York,Nchini Marekani


0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP