zain yazidi kumwaga muda wa maongezi
Mwandishi wa Habari wa Channel Ten Neema Maunga (KUSHOTO) akibonyeza kitufe jana kwa ajili ya kumpata mshindi wa zawadi kubwa ya wiki ya droo ndogo ya Endesha Ndoto yako 2 kutoka kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania ambapo mshindi hujinyakulia muda wa maongezi wa shilingi laki moja. Wanaoshughudia wa pili kushoto ni Afisa Uhusiano wa kampuni ya Zain Celine Njuju na Mwakilishi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Nchini Sadiki Elimsu.
0 comments:
Post a Comment