Kutoka Usa River akomba milioni moja ya Zain
Mfanyakazi wa Zain Tanzania, Blandina Billy, akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kumpata mshindi wa tisa wa sh. milioni 1 wa promosheni ya Endesha Ndoto Yako 2 ya Zain Tanzania, Mussa Ramadhani wa Usa River, Arusha, jijini Dar jana. Shoto ni mkaguzi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania, Humudi Abdulhussein, Meneja (Kitengo cha Masoko) wa Zain Tanzania, Ellen Lupili na kulia ni Ofisa Mawasiliano ya Ndani wa Zain Tanzania, Dangio Kaniki.
0 comments:
Post a Comment