Tuesday, December 30, 2008

milioni moja ya zain yaenda karatu

Mfanyakazi wa Zain Tanzania, Ramadhan Hassan akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kumpata mshindi wa sh. milioni 1 wa promosheni ya Endesha Ndoto Yako 2 ya Zain Tanzania, Aloyce Yambi wa Karatu. Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa Zain Tanzania, Celine Njuju, Meneja Masoko (Kitengo cha Wateja) wa Zain Tanzania, Kelvin Twissa na kulia ni mkaguzi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania, Abdallah Kahatu.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP