Hizi ajali hadi lini? Nani alaumiwe?
Mwanajeshi mmoja ambaye hakujulikana ni wa kikosi gari akiwa anasambaza watu waliokuwa wamefurika katika eneo la ajali na hivyo kuzuwia uokowaji, na awali polisi walikuwa wakipata taabu kufukuza watu hao.
Gari aina ya Scania likijitahidi kulivuta basi dogo la abiria mara baada ya ajali hiyo ili kuendelea na ukowaji watu jana jioni
Kaimu Kamanda wa polisi mkoani Arusha, Rober Boaz akiwa na mkuu wa wilaya ya Arumeru katika eneo la ajali hiyo jana
0 comments:
Post a Comment