Thursday, January 22, 2009

Pinda azidi kulia na albino

Waziri John Magufuli akiwa na mbunge wa Kuteuliwa Sheimaa Kwegir.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika mkutano aliouitisha wa kujadili mikakati ya kukomesha mauaji ya albino na vikongwe akiwa na mototo Stella wakati alipozungumza na viongozi wa serikali, vyama vya siasa , dini na maalbino kwenye ukumbi wa Vijana katika mji Mdogo wa Chato,

Mke wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda akiwa na mototo George Bush wa Chato ambaye Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe walimwomba kwa wazazi wake ili wakaishi naye nyumbani kwao, wakamsomeshe na kumsaidia kwa kila hadi atapojitegemea.


0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP