Saturday, January 17, 2009

mama kikwete awaandalia wake za mabalozi hafla ya mwaka mpya

Mama Salma Kikwete katika picha ya pamoja na wageni wake

Mama Salma Kikwete akigonganisha na baadaye kuinua glasi na Mama Celina Juma Mpango mke wa balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo nchini ambaye ni kiongozi wa wake wa mabalozi wa nchi za nje walioko hapa nchini wakitakiana heri ya mwaka mpya wakati wa sherehe iliyofanyika Ikulu, Dar

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP