Hidaya Titu akifarijiwa na jamaa yake kwa majeraha aliyoyapa katika ajali hiyo, Hidaya alimpoteza mtoto wake mmoja katika ajali hiyo.
Mmoja wa Majeruhi Amir Mohamed mkazi wa Korogwe Kwakomba akiwa amelazwa hopitalini hapo kwa matibabu.
Majeruhi Mwasiti Ramadhani akiwa na mtoto wake Amina Hamidu ambaye ni pacha wa Aisha Hamidu wakiwa wamelazwa katika Hospitali Teule ya Mheza mkoani Tanga.
0 comments:
Post a Comment