Wengi wamuaga Malima
Mwenyekiti ya Bodi ya Wakurugenzi ya Tanzania Standard Media Group, Adolar Mapunda (shati jeupe) na Makamu Mwenyekiti wa Bodi hiyo Profesa Amandina Lihamba pamoja na waombolezaji wengine wakitoa heshima zao za mwisho kwa hayati Cassian Malima, aliyekuwa Mhariri wa gazeti la Kiswahili la Serikali la HabariLeo
0 comments:
Post a Comment