Thursday, January 1, 2009

rashid matumla kuzipiga tena na francis cheka februari

Bondia Francis Cheka ‘ SMG’ (shoto) amesaini mkataba wa kukubali kucheza na Rashind Matumla ‘ Snake Boy’ (kulia) katika mpambano unaoandaliwa na Mkurugenzi wa kampuni ya Best Man Promotion ya morogoro, Zumo Makame (kati) litalofanyika Februari mwaka huu mji kasoro bahari. picha na john nditi

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP