Friday, February 13, 2009

Binadamu wengine hawafanani na matendo yao!!


Watuhumiwa wa mauaji ya kutisha yaliyotekea jijini hivi karibuni Vinoth Praveen (23) na na mkewe Komal Bupendra (23) wamefikishwa mahakamani leo hii. Wanatuhumiwa kumuua Abdul Basit Abdallah kumkatakata na mwili kuuweka katika begi na kuutelekeza ndani ya gari katika jengo la J.M Mall, alikuwa akiwadai pesa kiasi cha dola za USA 20,000.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP