Friday, February 13, 2009

BENKI YA NMB YAPATA WASHINDI WA KWENDA IVORY COAST!!

Julius Konyani ambaye ni product Manager wa NMB akichezesha bahati nasibu ili kuwapata washindi wa safari ya kwenda Ivory Coast kushuhudia baadhi ya michezo itakayochezwa na timu ya taifa Taifa Stars katika mashindano ya kombe la mataifa ya Afrika (CHAN) ambapo walipatikana washindi wawili ambao ni Kagenge Jofrey kutoka Mbalizi Mbeya na Mandingo Mussa wa Tunduru Ruvuma wengine wanaoonekana kwenye picha kulia ni Josephin Kurwa meneja mawasiliano wa benki hiyo, katikati ni Chiku Salehe kutoka bodi ya bahati nasibu na kushoto ni Julian Batalia Cellcom Gemming.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP