Dullonet Tanzania vision is to make Tanzania to be computerized, in so doing we believe that it will help Our national to be part of global. The key vision is to rapid update of Technology systems and services
JK akiwa na kiongozi wa Mabohora duniani Dr.Syedna Mohammed Burhanuddin baada ya kiongozi huyo wa Mabohora kumvika mgolole maalum wakati JK alipokwenda kumtembelea katika msikiti wa Mabohora ulioko Upanga jijini Dar
JK akiwa katika mazungumzo na kiongozi wa Mabohora duniani Dr.Syedna Mohamed Burhanuddin wakati alipokwenda kumsabahi kiongozi huyo katika msikiti wa mabohora uliopo Upanga jijini Dar
0 comments:
Post a Comment