Wednesday, February 25, 2009

EWURA, TANESCO NA WADAU WAJADILI MRADI WA UMEME VIJIJINI!!


Mkurugenzi wa Umeme wa EWURA Eng. Anastas Mbawala akiwafafanulia baadhi ya mambo waandishi wa habari waliohudhuria mkutano kati ya Ewura, Tanesco, wawekezaji na wadau mbalimbali uliojadili mradi wa umeme vijijini kuhusu bei, uwekezaji na jinsi ya kupata mikopo na kanuni zake unaofanyika leo kwenye Hoteli ya New Africa jijini mkutano huo umeandaliwa na Ewura.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP