MBUNIFU FATMA AMOUR AJA NA KAKAKUONA!!, "UNAVYOVAA NDIYO ULIVYO"
Mbunifu Fatma Amour akizungumza na wanahabari kwenye ukumbi wa idara ya Habari Maelezo leo kuelezea maandalizi ya onyesho lake linalojulikana kwa jina la Kakakuona ambalo litakuwa na ujumbe usemao "Unavyovaa ndivyo Ulivyo" litakalofanyika Machi 7 ambayo inakuwa ni siku ya wanawake Duniani ambayo husherehekewa kila mwaka onyesho hilo litafanyika kwenye ukumbi wa Dar Live uliopo Mikocheni jijini.
0 comments:
Post a Comment