Hiyo ndiyo Gharama ya Umaarufu Nora!!!!
Nora kama unavyomuona katika picha akijifuta machozi mara baada ya kugongwa swali na mwandishi kuhusiana na picha chafu anazohusishwa nazo, huku wasanii wenzie wakiwa wametulia wakisikiliza kwa makini, kulia ni Mzee Chilo na kushoto ni Elizabeth Chijumba.
0 comments:
Post a Comment