JK na Stars Ikulu
JK akipeana mikono na nahodha wa Taifa Stars Nsajigwa
JK akikumbataiana na kocha wa Taifa Stars Marcio Maximo Ikulu
JK akimpongeza bosi wa masoko wa Vodacom Tanzania Ephrahim Mafuru kwa mchango mkubwa wa kampuni hiyo kusaidia sana michezo na burudani nchini, ikiwa ni pamoja na kudhamini ligi kuu ya bara. Hii ilikuwa katika hafla ya dina la mchana ambalo JK aliwaandalia Taifa Stars na wafadhili wa timu hiyo ya Taifa inayojiandaa kwa michuano ya CHAN baadaye mwezi huu huko Ivory Coast.
0 comments:
Post a Comment