Wednesday, February 4, 2009

MABONDIA WA TANZANIA KUPANDA ULINGONI JIJINI NAIROBI FEB.7!!

Mabondia Omary Ramadhani kutoka kulia, Venance Mponji na mwisho Rashid Ally wakiwa katika picha ya pamoja na mkuu wa msafara Bw. Ally Bakary (Champion) katikati wakati walipokutana na wanahabari Idara ya habari maelezo mabondia hao wanatarajiwa kuondoka kesho kwenda kenya kwa mapambano yasiyo ya ubingwa ambapo Omary Ramadhani atapambana na Morris Chule wa kenya pambano la Round 8, Venance Mponji atapambana na Samuel Kamau Round 8 na Rashid Ally atapambana na Nzan Round 6 mapambano hayo yote yatafanyika jijini Nairobi jumamosi 7 February

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP