TIGO YACHANGIA UJENZI WA DARASA KONGOWE SHULE YA MSINGI
Mwalimu wa somo la sayansi wa Shule ya Msingi Upendo, Shakila Mahmoud (kulia) akitoa maelezo jinsi gani wanafunzi wa wanaweza kujifunza masomo mbalimbali kwa kutumia television katika darasa la Shule ya Msingi Kongowe ambalo limewekewa madirisha kwa msaada wa Tigo. Katikati ni Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando na kushoto ni Mwalimu Mkuu wa Shule ya Kongowe, Godfrey Semgoja. Hafla hiyo ilifanyika shuleni hapo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
0 comments:
Post a Comment