Monday, March 16, 2009

JK atua London kwenye mkutano juu ya mtikisiko wa uchumi

JK akikaribishwa na Balosi wetu Uingereza Mh. Mwanaidi Maajar uwanja wa ndege wa Heathrow asubuhi hii baada ya kuwasili jijini London tayari kwa mkutano maalumu kuhusu mtikisiko wa uchumi duniani ulioitishwa na waziri mkuu wa Uingereza Bw. Gordon Brown. JK ni mmoja wa marais wachache sana walioalikwa kwa ajili ya mkutano huo utaofanyika kwenye jengo la Lancaster House. Picha na Freddy Maro wa Ikulu

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP