Thursday, March 26, 2009

JK na afande mwamunyange watunukiwa nishani comoro

Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Tanzania Jenerali Davis Mwamunyange akivikwa medali ya kishujaa katika kutambua mchango wa majeshi ya Tanzania katika kukikomboa kisiwa cha Anjouan

Rais Ahmed Abdallah Mohamed Sambi wa Muungano wa Visiwa vya komoro akimtukuku JK medali ya ushujaa na heshima ya Taifa la Komoro kwa kutambua mchango wake katika kukikomboa kisiwa cha Anjouan.Rais Kikwete yupo nchini Komoro kwa mwaliko wa Rais Sambi kuadhimisha mwaka mmoja tangu majeshi ya umoja wa Afrika yakiongozwa na Tanzania yalipokikomboa kisiwa cha Anjouan

JK na Mwenyeji wake Rais Ahmed Abdallah Sambi mara baada ya kumtunuku heshima ya juu ya taifa hilo kwa kuvika medali kwa kutambua mchango wake katika kukikomboa kisiwa cha Anjouan.Shrehe hizi zilifanyika Missiri Stadium kisiwani Anjouan


0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP