JK akikaribishwa na waziri mkuu wa uingereza Bw. Gordon Brown Lancaster House

JK akiongea wakati wa mkutano na waandishi wa habari baada ya mkutano wa Pre G20 London Summit katika jumba la Lancaster House jijini London . wengine toka shoto ni rais wa African Development Bank Dr.Donald Kaberuka, Waziri Mkuu wa kenya, Mh. Raila Odinga, Rais wa Liberia Mh. Sirleaf Johnson, waziri Mkuu wa Ethiopia Mh. Meles Zenawi na Waziri wa Fedha wa Afrika Kusini, Mh. Trvor Manuel.

JK akisalimiana na Waziri Mkuu wa Kenya Mh. Raila Odinga walipokutana kwa mazungumzo jijini London. Wote walialikwa nma serikali ya Uingereza katika mkutano maalumu wa Afrika na mataifa makubwa kabla ya mkutano wa G-20
0 comments:
Post a Comment