Friday, March 6, 2009

Milioni 40 za vodacoma zaenda Buguruni


Afisa kutoka PWC Agness Kitwanga akibonyeza kitufe cha kompyuta wakati akichezesha bahati nasibu ya kampuni ya simu za mkononi Vodacom Tuzo Droo iliyofanyika katika makao makuu ya kampuni hiyo jengo la PPF Tower jijini ambapo Bw Abdallah Ramadhani mwenye miaka 29 mkazi wa Buguruni jijini aliibuka mshindi wa milioni 40, kulia wanaoshuhudia ni Elihuruma Ngowi meneja masoko Vodacom, Abdullah Hemedy kutoka bodi ya bahati nasibu na mwisho ni Angelina Semiono wa PWC.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP