Thursday, March 19, 2009

Shein akiwa BK

Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein, na Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakiangalia mitambo ya kumwagilia maji katika mashamba ya miwa ya kiwanda cha Sukari Kagera wakati walipotembelea mashamba hayo kwa ajili ya kukaguwa kilimo cha umwagiliaji. Makamu wa Rais yupo Mkoa wa Kagera kukaguwa na kuzinduwa miradi ya maendeleo ya wananchi

Makamu wa Rais akiijaribu ngoma ambayo pamoja na baraghashia alipewa zawdi kijijni hapo




Dr. Shein akisalimiana na mtoto aliyekuwa miongoni mwa mamia ya wakazi wa missenyi waliokuja kumpokea



0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP