Mawakala Miss Tanzania wapigwa msasa
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Ezekiel Maige akijibu maswali yaliyoulizwa na waandishi wakati wa uzinduzi wa miss Tanzania inayofanyika leo na kesho kwenye Hoyeli ya Regency Park Msasani kauli mbiu ya Miss Tanzania mwaka huu ni kutangaza Utalii wetu katika picha wanaofuatia ni Balozi Ammy Mpungwe Mwenyekiti wa Tanzanite One George Rwhumbiza Meneja Udhamini na Mawasiliano Vodacom na Bosco Majaliwa katibu mkuu Miss Tanzania.
0 comments:
Post a Comment