Tuesday, October 7, 2008

Producer wa G Record afariki dunia

Prodyuza nguli wa muziki hapa bongo aliyetambulika kwa jina la Roy Bukuku amefariki jana huko Mkoani Mbeya alikozaliwa,kwa taarifa zaidi tuendee za msiba huo na mengine tutakuletea

Roy mpaka anafariki alikuwa prodyuza wa studio za G 2 Records ,na alikuwa na uwezo mkubwa wa kupiga kinanda.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP