Dullonet Tanzania vision is to make Tanzania to be computerized, in so doing we believe that it will help Our national to be part of global. The key vision is to rapid update of Technology systems and services
Makamau wa Rais Dk Ali Mohamed Shein akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Watu wa Madagaska Bw. Marcravalomanana, katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere mara baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya kiserikali.
Rais Jakaya Kikwete akiwa na mgeni wake Rais wa Visiwa vya Madagascar Marc Ravalomanana muda mfupi baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam jumatatu kwa ziara ya kiserikali.
0 comments:
Post a Comment