Thursday, November 6, 2008

JK ateta na Morgan Ikulu


JK katika mazungumzo na kiongozi wa Chama cha upinzania nchini Zimbwabwe MDC Bwana Morgan Tsvangirai ikulu jijini Dar asubuhi, na chini akimsindikiza baada ya mazungumzo yao. Mambo yakienda mswano Tsvangirai atashika nafasi ya Waziri mkuu wa Zimbabwe wakati serikali ya shirikisho itakapoundwa. Picha kwa hisani ya Ikulu

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP