Wednesday, November 19, 2008

jk ateta na rais wa libya

Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi katika ikulu ya Tripoli jana jioni.Rais Kikwete alifanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Libya.(picha na Fredddy Maro)

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP