Friday, November 14, 2008

Serikali yazindua matangazo mapya ya utalii Uingereza

Waziri wa Utalii Mh. Shamsa Mwangunga akikata utepe kuashilia uzinduzi rasmi wa London Tax 100 zinataokuwa na matangazo ya Tanzania kwa miezi sita. Kilemba cha njano ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii, Bi Blandina Nyoni. Sherehe hizo zilifanyika katika sehemu ya watalii ya London Eye.

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Bw. Peter Mwenguo kulia akiwa na Mkurugenzi wa masoko, Bw. Mcha katika picha ya pamoja huku nyuma likionekana tangazo la Tanzania lilolokuwa katika kituo hca treni cha Victoria, London.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP