Waziri wa Utalii Mh. Shamsa Mwangunga akikata utepe kuashilia uzinduzi rasmi wa London Tax 100 zinataokuwa na matangazo ya Tanzania kwa miezi sita. Kilemba cha njano ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii, Bi Blandina Nyoni. Sherehe hizo zilifanyika katika sehemu ya watalii ya London Eye.
Back to TOP
0 comments:
Post a Comment