Dullonet Tanzania vision is to make Tanzania to be computerized, in so doing we believe that it will help Our national to be part of global. The key vision is to rapid update of Technology systems and services
Mshindi wa Droo ya nne ya sikia Kengele, Bwana Masoud Omary katikati akiwatazama Meneja wa SELCOM, Juma Mgori kulia na Mtaalam wa teknolojia na mawasiliano wa T MARC, Geofrey Millinga wanavyochezesha Bahati Nasibu hiyo.
Mtaalam wa teknolojia na mawasiliano wa T MARC, Bwana Geofrey Millinga (kushoto) akimkabidhi zawadi ya simu ya mkononi Bw. Christopher Lukas, baada ya kujishindia Bahati Nasibu ya sikia kengele
0 comments:
Post a Comment