Monday, December 22, 2008

dk. burian ziarani indonesia

waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais dk batilda buriani akionyeshwa mashine ya kupitishia utomvu wa mti wa sugar palm na mkurungenzi wa kampuni ya sugar palms willie smith alipotembelea kiwandani hapo. katikati ni mkurugenzi wamisitu na ufugaji nyuki bw felician kilahama huko wakiwa ziarani huko masarang nchini Indonesia , picha kwa hisani ya ali meja

waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais mazingira dk batilda buriani akiongozana na gavana wa jimbo la manado, Indonesia, mh. sulawesi utara katikati kulia mke wa gavana bibi syenie wetulangkaer alipowasili jimboni hapo mwisho wa wiki

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP