Saturday, December 20, 2008

JK aukwaa U-Dokta wa Heshima Kenyatta

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kenyatta nchini Kenya, Dr.Harris Mule akimtunuku Phd ya Heshima ya chuo hicho Rais Jakaya Kikwete wakati wa mahafali ya 25 ya hicho mjini Nairobi. Phd hiyo inatokana na jitihada zake za utatuzi wa nmigogoro kwa nchi za Afrika hasa mgogoro wa Kenya.

Dk Jakaya Kikwete akipokea nondo hiyo

Dk Kikwete Akipongweza na mkewe Salma Kikwete kwa kuupata Udokta wa heshima


0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP