Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kenyatta nchini Kenya, Dr.Harris Mule akimtunuku Phd ya Heshima ya chuo hicho Rais Jakaya Kikwete wakati wa mahafali ya 25 ya hicho mjini Nairobi. Phd hiyo inatokana na jitihada zake za utatuzi wa nmigogoro kwa nchi za Afrika hasa mgogoro wa Kenya.
Back to TOP
0 comments:
Post a Comment