Tuesday, December 16, 2008

zain yamwaga zawadi kwa yatima mtwara

Baadhi ya watoto wa wafanyakazi wa kampuni ya Zain mkoani Mtwara wakiwa na baadhi ya watoto wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Raha Leo EAG mjini Masasi, Mtwara mwishoni mwa wiki

Mratibu wa Maendeleo ya Biashara wa Zain Wilaya ya Masasi, Richard Kisse (mwenye fulana ya kijani) akikabidhi zawadi kwa Suzan wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Raha Leo EAG mjini Masasi, Mtwara mwishoni mwa wiki. Zain ilitoa bidhaa mbalimbali kwa yatima hao kwa ajili ya kuwapa fursa ya kusherehekea vyema msimu huu sikukuu

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP