Friday, January 2, 2009

Dk. Burian atembelea dampo Arusha

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dk Batilda Buriani akitembelea dampo la Murriet Kwenye Manispaa ya Arusha alipokuwa na ziara ya siku mbili ya kuangalia uchafuzi wa jiji hilo. Kulia ni Mkurugenzi Manispaa ya Arusha Bw Raphael Mbunda shoto ni Mhandisi Mazingira Manispaa ya Arusha Bw Nicholus Ntobi. Picha na Ali Meja.

0 comments:

About This Blog

Blog Archive

Waliotembelea ukurasa huu

free counter

  © The Professional Template Under Dullonet Tanzania @ 2008

Back to TOP